Kumbukumbu la Torati 6:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Unapaswa kumwogopa Yehova Mungu wako,+ nawe unapaswa kumtumikia yeye,+ nawe unapaswa kuapa kwa jina lake.+ Isaya 49:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Inua macho yako pande zote, uone. Wote wamekusanywa pamoja.+ Wamekujia. “Kama ninavyoishi,” asema Yehova,+ “utajivika hao wote kana kwamba ni kwa mapambo, nawe utajifunga hao kama bibi-arusi.+
13 Unapaswa kumwogopa Yehova Mungu wako,+ nawe unapaswa kumtumikia yeye,+ nawe unapaswa kuapa kwa jina lake.+
18 Inua macho yako pande zote, uone. Wote wamekusanywa pamoja.+ Wamekujia. “Kama ninavyoishi,” asema Yehova,+ “utajivika hao wote kana kwamba ni kwa mapambo, nawe utajifunga hao kama bibi-arusi.+