1 Mambo ya Nyakati 29:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Ee Yehova, Mungu wa Abrahamu, Isaka na Israeli mababu zetu,+ shika hili mpaka wakati usio na kipimo kama mwelekeo wa fikira za moyo wa watu wako,+ na uelekeze moyo wao kwako.+ Mathayo 22:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 ‘Mimi ni Mungu wa Abrahamu na Mungu wa Isaka na Mungu wa Yakobo’?+ Yeye ni Mungu, si wa wafu, bali wa walio hai.”+
18 Ee Yehova, Mungu wa Abrahamu, Isaka na Israeli mababu zetu,+ shika hili mpaka wakati usio na kipimo kama mwelekeo wa fikira za moyo wa watu wako,+ na uelekeze moyo wao kwako.+
32 ‘Mimi ni Mungu wa Abrahamu na Mungu wa Isaka na Mungu wa Yakobo’?+ Yeye ni Mungu, si wa wafu, bali wa walio hai.”+