1 Mambo ya Nyakati 29:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Ee Yehova, Mungu wa Abrahamu, Isaka, na Israeli, mababu zetu, idumishe mielekeo hii na fikira hizi katika mioyo ya watu wako milele, na uielekeze mioyo yao kwako.+
18 Ee Yehova, Mungu wa Abrahamu, Isaka, na Israeli, mababu zetu, idumishe mielekeo hii na fikira hizi katika mioyo ya watu wako milele, na uielekeze mioyo yao kwako.+