Zaburi 10:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Lakini utasikia ombi la wapole, Ee Yehova.+ Utaiimarisha mioyo yao+ na kuwasikiliza kwa makini.+ Zaburi 86:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nifundishe, Ee Yehova, kuhusu njia yako.+ Nitatembea katika kweli yako.+ Unganisha moyo wangu* ili niliogope jina lako.+
11 Nifundishe, Ee Yehova, kuhusu njia yako.+ Nitatembea katika kweli yako.+ Unganisha moyo wangu* ili niliogope jina lako.+