-
1 Mambo ya Nyakati 29:18, 19Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
18 Ee Yehova, Mungu wa Abrahamu, Isaka, na Israeli, mababu zetu, idumishe mielekeo hii na fikira hizi katika mioyo ya watu wako milele, na uielekeze mioyo yao kwako.+ 19 Mpe mwanangu Sulemani moyo kamili,*+ ili ashike amri zako, vikumbusho vyako,+ na masharti yako na kufanya mambo haya yote na kujenga hekalu* ambalo nimelifanyia matayarisho.”+
-