Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 27:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Nifundishe njia yako, Ee Yehova,+

      Niongoze katika kijia cha unyoofu kwa sababu ya maadui wangu.

  • Zaburi 119:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Nifundishe, Ee Yehova,+ njia ya masharti yako,

      Nami nitaifuata mpaka mwisho.+

  • Zaburi 143:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Acha nisikie upendo wako mshikamanifu asubuhi,

      Kwa maana ninakutumaini wewe.

      Nijulishe njia ninayopaswa kutembea ndani yake,+

      Kwa maana ninakugeukia wewe.*

  • Isaya 54:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na wana* wako wote watafundishwa na Yehova,+

      Na amani ya wana* wako itakuwa nyingi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki