Zaburi 25:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nijulishe njia zako, Ee Yehova;+Nifundishe vijia vyako.+ Zaburi 86:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nifundishe, Ee Yehova, kuhusu njia yako.+ Nitatembea katika kweli yako.+ Unganisha moyo wangu* ili niliogope jina lako.+ Isaya 30:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Ingawa Yehova atawapa taabu kama mkate na ukandamizaji kama maji,+ Mfundishaji wako Mkuu hatajificha tena, nawe utamwona Mfundishaji wako Mkuu+ kwa macho yako mwenyewe. Isaya 54:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na wana* wako wote watafundishwa na Yehova,+Na amani ya wana* wako itakuwa nyingi.+
11 Nifundishe, Ee Yehova, kuhusu njia yako.+ Nitatembea katika kweli yako.+ Unganisha moyo wangu* ili niliogope jina lako.+
20 Ingawa Yehova atawapa taabu kama mkate na ukandamizaji kama maji,+ Mfundishaji wako Mkuu hatajificha tena, nawe utamwona Mfundishaji wako Mkuu+ kwa macho yako mwenyewe.