Hesabu 16:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Ndipo Musa akasema: “Kwa jambo hili mtajua kwamba Yehova amenituma nifanye matendo yote haya,+ kwamba si kutoka moyoni mwangu mwenyewe:+ 2 Samweli 7:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa ajili ya neno lako+ na kupatana na moyo wako mwenyewe,+ wewe umefanya mambo haya yote makuu ili umjulishe mtumishi wako.+ Yohana 11:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 Kweli, nilijua kwamba sikuzote wewe hunisikia; lakini kwa sababu ya umati+ waliosimama kunizunguka nilisema, ili wapate kuamini kwamba wewe ulinituma.”+
28 Ndipo Musa akasema: “Kwa jambo hili mtajua kwamba Yehova amenituma nifanye matendo yote haya,+ kwamba si kutoka moyoni mwangu mwenyewe:+
21 Kwa ajili ya neno lako+ na kupatana na moyo wako mwenyewe,+ wewe umefanya mambo haya yote makuu ili umjulishe mtumishi wako.+
42 Kweli, nilijua kwamba sikuzote wewe hunisikia; lakini kwa sababu ya umati+ waliosimama kunizunguka nilisema, ili wapate kuamini kwamba wewe ulinituma.”+