2 Wewe—wewe utasema mambo yote nitakayokuamuru;+ naye Haruni ndugu yako atamwambia Farao,+ naye lazima awaruhusu wana wa Israeli waondoke nchini mwake.+
22 Nami nitakutokea hapo na kusema nawe toka juu ya kifuniko+ hicho, toka katikati ya wale makerubi wawili walio juu ya sanduku la ushuhuda, naam, yote nitakayokuamuru wewe kwa ajili ya wana wa Israeli.+
18 Nitawainulia wao nabii kutoka katikati ya ndugu zao, kama wewe;+ nami nitaweka maneno yangu katika kinywa chake,+ naye atasema nao yote nitakayomwamuru.+
30 Mimi siwezi kufanya lolote kwa uamuzi wangu mwenyewe; kama vile ninavyosikia, ndivyo ninavyohukumu; na hukumu ninayotoa ni ya uadilifu,+ kwa sababu ninatafuta, si mapenzi yangu mwenyewe, bali mapenzi+ yake aliyenituma.