Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 3:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Naye akajibu: “Kwa sababu nitakuwa pamoja nawe,+ nayo hii ndiyo ishara kwako ya kwamba mimi ndiye niliyekutuma:+ Baada ya kuwatoa watu hao Misri, ninyi mtamtumikia Mungu wa kweli kwenye mlima huu.”+

  • Kumbukumbu la Torati 18:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Nabii anaposema katika jina la Yehova na neno hilo lisitukie au lisitimie, hilo ndilo neno ambalo Yehova hakusema.+ Kwa kimbelembele nabii huyo alilisema. Usimwogope.’+

  • Yohana 5:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Lakini mimi nina ushahidi ulio mkubwa zaidi kuliko ule wa Yohana, kwa maana kazi zilezile ambazo Baba yangu alinigawia kutimiza, kazi hizo zenyewe ambazo ninafanya,+ hutoa ushahidi juu yangu kwamba Baba alinituma.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki