4 Na watu wa Daudi wakaanza kumwambia: “Hii ndiyo siku ambayo Yehova anakuambia, ‘Tazama! Ninamtia adui yako mkononi mwako,+ nawe umtendee kama inavyoonekana vema machoni pako.’”+ Kwa hiyo Daudi akasimama, akakata kimyakimya upindo wa koti lisilo na mikono la Sauli.
10 Tazama, leo macho yako yameona jinsi Yehova alivyokutia leo mkononi mwangu ndani ya pango; na mtu fulani alisema nikuue,+ lakini nikakusikitikia, nikasema, ‘Sitanyoosha mkono wangu juu ya bwana wangu, kwa maana yeye ni mtiwa-mafuta+ wa Yehova.’
8 Sasa Abishai akamwambia Daudi: “Mungu leo amemtia adui yako mkononi mwako.+ Tafadhali sasa, acha nimpigilie chini kwa mkuki mara moja tu, nami sitafanya hivyo mara mbili.”