Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 9:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Karibu wakati kama huu kesho nitatuma mtu kwako kutoka katika nchi ya Benyamini,+ nawe umtie mafuta+ awe kiongozi juu ya watu wangu Israeli; naye atawaokoa watu wangu kutoka mkononi mwa Wafilisti,+ kwa sababu nimeona mateso ya watu wangu, kwa maana kilio chao kimenifikia.”+

  • 1 Samweli 10:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Ndipo Samweli akachukua chupa+ ya mafuta na kuyamimina juu ya kichwa chake, akambusu+ na kusema: “Je, si kwa sababu Yehova amekutia mafuta uwe kiongozi+ juu ya urithi wake?+

  • 1 Samweli 26:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Hata hivyo, Daudi akamwambia Abishai: “Usimwangamize, kwani ni nani amepata kunyoosha mkono wake juu ya mtiwa-mafuta wa Yehova,+ naye akabaki bila hatia?”+

  • Zaburi 105:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Akisema: “Msiwaguse watiwa-mafuta wangu,+

      Wala msiwatendee manabii wangu lolote lililo baya.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki