Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 19:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “‘Usilipize kisasi+ wala usiwe na kinyongo juu ya wana wa watu wako;+ nawe mpende mwenzako kama wewe mwenyewe.+ Mimi ni Yehova.

  • Zaburi 7:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Ikiwa nimemlipa ubaya yule anayenipa thawabu,+

      Au ikiwa nimempora yeyote anayenionyesha uadui bila kufanikiwa,+

  • Mathayo 5:44
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 Hata hivyo, mimi ninawaambia ninyi: Endeleeni kuwapenda adui zenu+ na kusali kwa ajili ya wale wanaowatesa ninyi;+

  • Waroma 12:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Msimlipe yeyote uovu kwa uovu.+ Fanyeni mambo mema machoni pa watu wote.

  • Waroma 12:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Wapendwa, msijilipizie kisasi+ wenyewe bali iachieni nafasi ghadhabu;+ kwa maana imeandikwa: “Kisasi ni changu; mimi nitalipa, asema Yehova.”+

  • Waroma 12:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Usiache ushindwe na uovu, bali endelea kuushinda uovu kwa wema.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki