Mambo ya Walawi 19:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “‘Usilipize kisasi+ wala usiwe na kinyongo juu ya wana wa watu wako;+ nawe mpende mwenzako kama wewe mwenyewe.+ Mimi ni Yehova. Zaburi 7:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ikiwa nimemlipa ubaya yule anayenipa thawabu,+Au ikiwa nimempora yeyote anayenionyesha uadui bila kufanikiwa,+ Mathayo 5:44 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 Hata hivyo, mimi ninawaambia ninyi: Endeleeni kuwapenda adui zenu+ na kusali kwa ajili ya wale wanaowatesa ninyi;+ Waroma 12:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Msimlipe yeyote uovu kwa uovu.+ Fanyeni mambo mema machoni pa watu wote. Waroma 12:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Wapendwa, msijilipizie kisasi+ wenyewe bali iachieni nafasi ghadhabu;+ kwa maana imeandikwa: “Kisasi ni changu; mimi nitalipa, asema Yehova.”+ Waroma 12:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Usiache ushindwe na uovu, bali endelea kuushinda uovu kwa wema.+
18 “‘Usilipize kisasi+ wala usiwe na kinyongo juu ya wana wa watu wako;+ nawe mpende mwenzako kama wewe mwenyewe.+ Mimi ni Yehova.
4 Ikiwa nimemlipa ubaya yule anayenipa thawabu,+Au ikiwa nimempora yeyote anayenionyesha uadui bila kufanikiwa,+
44 Hata hivyo, mimi ninawaambia ninyi: Endeleeni kuwapenda adui zenu+ na kusali kwa ajili ya wale wanaowatesa ninyi;+
19 Wapendwa, msijilipizie kisasi+ wenyewe bali iachieni nafasi ghadhabu;+ kwa maana imeandikwa: “Kisasi ni changu; mimi nitalipa, asema Yehova.”+