1 Samweli 24:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Naye akamwambia Daudi: “Wewe ni mwadilifu kuliko mimi,+ kwa maana wewe ndiye umenitendea mema,+ nami ndiye nimekutendea uovu. Methali 17:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mtu anayelipa ubaya kwa wema,+ ubaya hautaondoka nyumbani mwake.+
17 Naye akamwambia Daudi: “Wewe ni mwadilifu kuliko mimi,+ kwa maana wewe ndiye umenitendea mema,+ nami ndiye nimekutendea uovu.