Ruthu 1:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Naye Ruthu akasema: “Usiniombe nikuache, nigeuke nisifuatane nawe; kwa maana uendako nitaenda, na mahali utakapokaa usiku kucha nitakaa.+ Watu wako watakuwa watu wangu,+ na Mungu wako Mungu wangu.+ Methali 17:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Rafiki wa kweli anapenda nyakati zote,+ naye ni ndugu aliyezaliwa kwa ajili ya wakati wa taabu.+ Methali 18:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kuna rafiki wanaoelekea kuvunjana vipande-vipande,+ lakini yuko rafiki anayeshikamana na mtu kwa ukaribu zaidi kuliko ndugu.+ Waebrania 10:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Sasa sisi si namna ya watu wanaorudi nyuma kwenye maangamizi,+ bali sisi ni namna ya watu walio na imani ya kuihifadhi hai nafsi.+
16 Naye Ruthu akasema: “Usiniombe nikuache, nigeuke nisifuatane nawe; kwa maana uendako nitaenda, na mahali utakapokaa usiku kucha nitakaa.+ Watu wako watakuwa watu wangu,+ na Mungu wako Mungu wangu.+
24 Kuna rafiki wanaoelekea kuvunjana vipande-vipande,+ lakini yuko rafiki anayeshikamana na mtu kwa ukaribu zaidi kuliko ndugu.+
39 Sasa sisi si namna ya watu wanaorudi nyuma kwenye maangamizi,+ bali sisi ni namna ya watu walio na imani ya kuihifadhi hai nafsi.+