Kumbukumbu la Torati 4:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Lakini ninyi ndio watu ambao Yehova alichukua apate kuwatoa nje ya tanuru ya chuma,+ toka nje ya Misri, ili muwe watu wa mali ya kibinafsi kwake+ kama ilivyo leo hii. 1 Wafalme 8:51 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 51 (kwa maana wao ni watu wako na urithi wako,+ ulioutoa katika Misri,+ kutoka ndani ya tanuru ya chuma),+ Nehemia 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Nao ni watumishi wako+ na watu wako,+ uliowakomboa kwa uwezo wako mkubwa+ na kwa mkono wako wenye nguvu.+ Zaburi 74:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ulikumbuke kusanyiko lako ulilojipatia zamani za kale,+Kabila ulilolikomboa liwe urithi wako,+Huu Mlima Sayuni ambapo umekaa.+ Zaburi 95:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana yeye ni Mungu wetu, na sisi ni watu wa malisho yake na kondoo wa mkono wake.+Leo ikiwa mtaisikiliza sauti yake,+ Zaburi 100:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Jueni kwamba Yehova ni Mungu.+Yeye ndiye aliyetufanya, wala si sisi wenyewe.+Sisi ni watu wake na kondoo wa malisho yake.+
20 Lakini ninyi ndio watu ambao Yehova alichukua apate kuwatoa nje ya tanuru ya chuma,+ toka nje ya Misri, ili muwe watu wa mali ya kibinafsi kwake+ kama ilivyo leo hii.
51 (kwa maana wao ni watu wako na urithi wako,+ ulioutoa katika Misri,+ kutoka ndani ya tanuru ya chuma),+
10 Nao ni watumishi wako+ na watu wako,+ uliowakomboa kwa uwezo wako mkubwa+ na kwa mkono wako wenye nguvu.+
2 Ulikumbuke kusanyiko lako ulilojipatia zamani za kale,+Kabila ulilolikomboa liwe urithi wako,+Huu Mlima Sayuni ambapo umekaa.+
7 Kwa maana yeye ni Mungu wetu, na sisi ni watu wa malisho yake na kondoo wa mkono wake.+Leo ikiwa mtaisikiliza sauti yake,+
3 Jueni kwamba Yehova ni Mungu.+Yeye ndiye aliyetufanya, wala si sisi wenyewe.+Sisi ni watu wake na kondoo wa malisho yake.+