Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 4:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Lakini ninyi ndio watu ambao Yehova alichukua apate kuwatoa nje ya tanuru ya chuma,+ toka nje ya Misri, ili muwe watu wa mali ya kibinafsi kwake+ kama ilivyo leo hii.

  • 1 Wafalme 8:51
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 51 (kwa maana wao ni watu wako na urithi wako,+ ulioutoa katika Misri,+ kutoka ndani ya tanuru ya chuma),+

  • Nehemia 1:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Nao ni watumishi wako+ na watu wako,+ uliowakomboa kwa uwezo wako mkubwa+ na kwa mkono wako wenye nguvu.+

  • Zaburi 74:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Ulikumbuke kusanyiko lako ulilojipatia zamani za kale,+

      Kabila ulilolikomboa liwe urithi wako,+

      Huu Mlima Sayuni ambapo umekaa.+

  • Zaburi 95:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Kwa maana yeye ni Mungu wetu, na sisi ni watu wa malisho yake na kondoo wa mkono wake.+

      Leo ikiwa mtaisikiliza sauti yake,+

  • Zaburi 100:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Jueni kwamba Yehova ni Mungu.+

      Yeye ndiye aliyetufanya, wala si sisi wenyewe.+

      Sisi ni watu wake na kondoo wa malisho yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki