11 Naye Musa akaanza kuutuliza uso wa Yehova Mungu+ wake na kusema: “Kwa nini, Ee Yehova, hasira+ yako iwake juu ya watu wako ambao uliwatoa katika nchi ya Misri kwa nguvu kuu na kwa mkono wenye nguvu?
10 Na mimi—mimi nilikaa mlimani kama siku za kwanza, siku 40, mchana na usiku,+ naye Yehova akanisikiliza pia katika pindi hiyo.+ Yehova hakutaka kukuharibu wewe.+