Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 32:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Naye Musa akaanza kuutuliza uso wa Yehova Mungu+ wake na kusema: “Kwa nini, Ee Yehova, hasira+ yako iwake juu ya watu wako ambao uliwatoa katika nchi ya Misri kwa nguvu kuu na kwa mkono wenye nguvu?

  • Kutoka 32:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Naye Yehova akaanza kujuta juu ya ule uovu aliokuwa amesema kwamba atawafanyia watu wake.+

  • Kumbukumbu la Torati 10:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na mimi—mimi nilikaa mlimani kama siku za kwanza, siku 40, mchana na usiku,+ naye Yehova akanisikiliza pia katika pindi hiyo.+ Yehova hakutaka kukuharibu wewe.+

  • Zaburi 106:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Naye alikuwa karibu kusema waangamizwe,+

      Isingalikuwa ni kwa sababu ya Musa mchaguliwa wake,

      Aliyesimama penye mwanya mbele zake,+

      Ili kuigeuza ghadhabu yake asiwaharibu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki