36 Kutoka mbinguni alikufanya usikie sauti yake ili kukurekebisha; na duniani alikufanya uone moto wake mkuu, nayo maneno yake uliyasikia kutoka katikati ya moto huo.+
13 Nawe ukashuka chini kwenye Mlima Sinai+ na kusema nao kutoka mbinguni+ na kuwapa maamuzi ya hukumu+ yaliyo manyoofu na sheria za kweli,+ masharti+ na amri+ nzuri.