Kutoka 19:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na wawe tayari kwa ajili ya siku ya tatu, kwa sababu katika siku ya tatu Yehova atashuka chini mbele ya macho ya watu wote juu ya Mlima Sinai.+ Kumbukumbu la Torati 33:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Naye akasema:“Yehova—alikuja kutoka Sinai,+Naye akamulika juu yao kutoka Seiri.+Aliangaza kutoka katika eneo lenye milima la Parani,+Naye alikuwa pamoja na makumi ya maelfu ya watakatifu,+Mashujaa wao kwenye mkono wake wa kuume.+
11 Na wawe tayari kwa ajili ya siku ya tatu, kwa sababu katika siku ya tatu Yehova atashuka chini mbele ya macho ya watu wote juu ya Mlima Sinai.+
2 Naye akasema:“Yehova—alikuja kutoka Sinai,+Naye akamulika juu yao kutoka Seiri.+Aliangaza kutoka katika eneo lenye milima la Parani,+Naye alikuwa pamoja na makumi ya maelfu ya watakatifu,+Mashujaa wao kwenye mkono wake wa kuume.+