33Na Yehova akaendelea kumwambia Musa: “Nenda, ondoka hapa, wewe na watu uliowaongoza kutoka nchi ya Misri,+ mpaka kwenye nchi ambayo nilimwapia Abrahamu, Isaka na Yakobo, na kusema, ‘Nitaupa uzao wako.’+
8 Mimi husema naye kinywa kwa kinywa,+ na hivyo kumwonyesha, wala si kwa vitendawili;+ naye huona sura ya Yehova.+ Kwa nini, basi, hamkuogopa kusema juu ya mtumishi wangu, juu ya Musa?”+