Matendo 16:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa hiyo akafika Derbe na pia Listra.+ Na, tazama! mwanafunzi fulani aliyeitwa Timotheo+ alikuwa huko, mwana wa mwanamke Myahudi aliye mwamini lakini wa baba Mgiriki, Wafilipi 2:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa upande wangu ninatumaini katika Bwana Yesu kumtuma Timotheo kwenu upesi, ili nafsi yangu ichangamke+ nitakapojua kuhusu mambo yenu.
16 Kwa hiyo akafika Derbe na pia Listra.+ Na, tazama! mwanafunzi fulani aliyeitwa Timotheo+ alikuwa huko, mwana wa mwanamke Myahudi aliye mwamini lakini wa baba Mgiriki,
19 Kwa upande wangu ninatumaini katika Bwana Yesu kumtuma Timotheo kwenu upesi, ili nafsi yangu ichangamke+ nitakapojua kuhusu mambo yenu.