Mathayo 24:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na hii habari njema+ ya ufalme+ itahubiriwa katika dunia yote inayokaliwa ili kuwa ushahidi kwa mataifa yote;+ na ndipo ule mwisho+ utakapokuja. 2 Wathesalonike 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 katika mwali wa moto, anapoleta kisasi+ juu ya wale wasiomjua Mungu+ na wale wasiotii+ habari njema juu ya Bwana wetu Yesu.+ Ufunuo 14:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nami nikamwona malaika mwingine akiruka katikati ya mbingu,+ naye alikuwa na habari njema+ ya milele ili aitangaze kuwa habari za furaha kwa wale wanaokaa duniani, na kwa kila taifa na kabila na lugha na watu,+
14 Na hii habari njema+ ya ufalme+ itahubiriwa katika dunia yote inayokaliwa ili kuwa ushahidi kwa mataifa yote;+ na ndipo ule mwisho+ utakapokuja.
8 katika mwali wa moto, anapoleta kisasi+ juu ya wale wasiomjua Mungu+ na wale wasiotii+ habari njema juu ya Bwana wetu Yesu.+
6 Nami nikamwona malaika mwingine akiruka katikati ya mbingu,+ naye alikuwa na habari njema+ ya milele ili aitangaze kuwa habari za furaha kwa wale wanaokaa duniani, na kwa kila taifa na kabila na lugha na watu,+