11 “Kwa hiyo mkaja karibu na kusimama chini ya mlima, nao mlima ulikuwa ukiwaka moto mpaka katikati ya mbingu; kulikuwa na giza, wingu na weusi mzito.+
13 Nami nikaona, nami nikasikia tai+ akiruka katikati ya mbingu+ akisema kwa sauti kubwa: “Ole, ole, ole+ wao wanaokaa duniani kwa sababu ya mipigo mingine ya tarumbeta ya wale malaika watatu walio karibu kuzipiga tarumbeta zao!”+
17 Nikaona pia malaika amesimama katika jua, naye akapaaza kilio kwa sauti kubwa na kuwaambia ndege+ wote wanaoruka katikati ya mbingu: “Njooni hapa, mkusanyike pamoja kwenye mlo mkubwa wa jioni wa Mungu,