11 “Kwa hiyo mkaja karibu na kusimama chini ya mlima, nao mlima ulikuwa ukiwaka moto mpaka katikati ya mbingu; kulikuwa na giza, wingu na weusi mzito.+
6 Nami nikamwona malaika mwingine akiruka katikati ya mbingu,+ naye alikuwa na habari njema+ ya milele ili aitangaze kuwa habari za furaha kwa wale wanaokaa duniani, na kwa kila taifa na kabila na lugha na watu,+
17 Nikaona pia malaika amesimama katika jua, naye akapaaza kilio kwa sauti kubwa na kuwaambia ndege+ wote wanaoruka katikati ya mbingu: “Njooni hapa, mkusanyike pamoja kwenye mlo mkubwa wa jioni wa Mungu,