Danieli 2:44 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 “Na katika siku za wafalme hao,+ Mungu wa mbinguni+ atausimamisha ufalme+ ambao hautaharibiwa kamwe.+ Na ufalme huo hautapewa watu wengine wowote.+ Utazivunja na kuzikomesha falme hizi zote,+ nao utasimama mpaka wakati usio na kipimo;+ Mathayo 6:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Ufalme+ wako na uje. Mapenzi yako+ na yatendeke duniani kama ilivyo mbinguni.+
44 “Na katika siku za wafalme hao,+ Mungu wa mbinguni+ atausimamisha ufalme+ ambao hautaharibiwa kamwe.+ Na ufalme huo hautapewa watu wengine wowote.+ Utazivunja na kuzikomesha falme hizi zote,+ nao utasimama mpaka wakati usio na kipimo;+