Matendo 16:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa hiyo akafika Derbe na pia Listra.+ Na, tazama! mwanafunzi fulani aliyeitwa Timotheo+ alikuwa huko, mwana wa mwanamke Myahudi aliye mwamini lakini wa baba Mgiriki, Waroma 16:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Timotheo mfanyakazi mwenzangu anawasalimu ninyi, na pia Lukio na Yasoni na Sosipata jamaa+ zangu. 1 Wakorintho 16:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Hata hivyo, Timotheo+ akifika, hakikisheni kwamba haogopi akiwa kati yenu, kwa maana anafanya kazi ya Yehova,+ kama mimi.
16 Kwa hiyo akafika Derbe na pia Listra.+ Na, tazama! mwanafunzi fulani aliyeitwa Timotheo+ alikuwa huko, mwana wa mwanamke Myahudi aliye mwamini lakini wa baba Mgiriki,
10 Hata hivyo, Timotheo+ akifika, hakikisheni kwamba haogopi akiwa kati yenu, kwa maana anafanya kazi ya Yehova,+ kama mimi.