Wafilipi 2:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa maana sina mtu mwingine yeyote aliye na mwelekeo kama wake atakayejali+ kwa unyoofu mambo yenu. 1 Timotheo 4:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Usiwe ukiipuuza zawadi+ iliyo ndani yako uliyopewa kupitia utabiri+ na wakati baraza la wanaume wazee walipoweka mikono+ yao juu yako.
20 Kwa maana sina mtu mwingine yeyote aliye na mwelekeo kama wake atakayejali+ kwa unyoofu mambo yenu.
14 Usiwe ukiipuuza zawadi+ iliyo ndani yako uliyopewa kupitia utabiri+ na wakati baraza la wanaume wazee walipoweka mikono+ yao juu yako.