16 Basi na tukikaribie,+ tukiwa na uhuru wa kusema,+ kiti cha ufalme cha fadhili zisizostahiliwa, ili tupokee rehema na kupata fadhili zisizostahiliwa kuwa msaada kwa wakati unaofaa.+
3 Fadhili zisizostahiliwa,+ rehema na amani zitakuwa pamoja nasi kutoka kwa Mungu Baba+ na kutoka kwa Yesu Kristo Mwana wa Baba, pamoja na kweli na upendo.+