20 Yuko wapi mtu mwenye hekima? Yuko wapi mwandishi?+ Yuko wapi mwenye kubishania+ maneno wa mfumo huu wa mambo?+ Je, Mungu hakuifanya hekima ya ulimwengu iwe upumbavu?+
10 Hiyo ilikuwa kwa kusudi kwamba sasa serikali na mamlaka+ zilizo katika mahali pa kimbingu zijulishwe kupitia kutaniko+ hekima ya Mungu ya namna nyingi sana,+
17 Lakini hekima+ inayotoka juu kwanza kabisa ni safi kiadili,+ kisha yenye kufanya amani,+ yenye usawaziko,+ tayari kutii, yenye kujaa rehema na matunda mema,+ haifanyi tofauti zenye ubaguzi,+ si ya kinafiki.+