Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waroma 11:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Lo! Jinsi kilivyo kina cha utajiri+ wa Mungu na hekima+ na ujuzi!+ Jinsi hukumu+ zake zisivyochunguzika na njia zake zisivyotafutika!

  • Waroma 16:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 kwa Mungu, mwenye hekima peke yake,+ kuwe na utukufu+ kupitia Yesu Kristo+ milele. Amina.

  • 1 Wakorintho 1:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Yuko wapi mtu mwenye hekima? Yuko wapi mwandishi?+ Yuko wapi mwenye kubishania+ maneno wa mfumo huu wa mambo?+ Je, Mungu hakuifanya hekima ya ulimwengu iwe upumbavu?+

  • 1 Wakorintho 2:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 ili imani yenu iwe, si katika hekima+ ya wanadamu, bali katika nguvu za Mungu.+

  • Waefeso 3:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Hiyo ilikuwa kwa kusudi kwamba sasa serikali na mamlaka+ zilizo katika mahali pa kimbingu zijulishwe kupitia kutaniko+ hekima ya Mungu ya namna nyingi sana,+

  • Yakobo 3:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Lakini hekima+ inayotoka juu kwanza kabisa ni safi kiadili,+ kisha yenye kufanya amani,+ yenye usawaziko,+ tayari kutii, yenye kujaa rehema na matunda mema,+ haifanyi tofauti zenye ubaguzi,+ si ya kinafiki.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki