12 Ilifunuliwa kwao kwamba hawakuwa wakijihudumia wenyewe,+ bali walikuwa wakiwahudumia ninyi mambo ambayo sasa mmetangaziwa+ kupitia wale ambao wamewatangazia ninyi habari njema kwa roho takatifu+ iliyotumwa kutoka mbinguni. Malaika wanatamani kuchungulia ndani ya mambo hayo.+
9 Lakini ninyi ni “jamii iliyochaguliwa, ukuhani wa kifalme, taifa takatifu,+ watu wa kuwa mali ya pekee,+ ili mtangaze kotekote sifa bora”+ zake yeye aliyewaita ninyi kutoka katika giza kuingia katika nuru yake ya ajabu.+