Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Luka 21:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Lakini kabla ya mambo yote hayo watu watawakamata na kuwatesa,+ wakiwakabidhi ninyi kwenye masinagogi na magereza, mkikokotwa na kupelekwa mbele ya wafalme na magavana kwa ajili ya jina langu.+

  • Yohana 16:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Watu watawafukuza ninyi katika sinagogi.+ Kwa kweli, saa inakuja wakati ambapo kila mtu anayewaua ninyi atafikiri amemtolea Mungu utumishi mtakatifu.+

  • Matendo 5:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 Ndipo wakamsikiliza, nao wakawaita mitume, wakawapiga viboko,+ na kuwaagiza waache kusema juu ya msingi wa jina la Yesu,+ kisha wakawaacha waende zao.

  • 2 Wakorintho 11:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Kwa Wayahudi nilipokea mara tano mapigo 40+ kupungua moja,

  • 1 Wathesalonike 2:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 waliomuua hata Bwana Yesu+ na manabii+ na kututesa sisi.+ Zaidi ya hayo, wao hawampendezi Mungu, bali wako kinyume cha faida za wanadamu wote,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki