12 “Lakini kabla ya mambo yote hayo watu watawakamata na kuwatesa,+ wakiwakabidhi ninyi kwenye masinagogi na magereza, mkikokotwa na kupelekwa mbele ya wafalme na magavana kwa ajili ya jina langu.+
2 Watu watawafukuza ninyi katika sinagogi.+ Kwa kweli, saa inakuja wakati ambapo kila mtu anayewaua ninyi atafikiri amemtolea Mungu utumishi mtakatifu.+
40 Ndipo wakamsikiliza, nao wakawaita mitume, wakawapiga viboko,+ na kuwaagiza waache kusema juu ya msingi wa jina la Yesu,+ kisha wakawaacha waende zao.