Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 10:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Jihadharini na watu;+ kwa maana watawapeleka mahakamani,+ nao watawapiga ninyi mijeledi+ katika masinagogi yao.+

  • Marko 13:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Kwa habari yenu, jihadharini; watu watawapeleka mahakamani,+ nanyi mtapigwa katika masinagogi+ na kusimamishwa mbele ya magavana na wafalme kwa ajili yangu, kuwa ushahidi kwao.+

  • Luka 20:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Lakini majira yake yalipofika akatuma mtumwa+ kwa wakulima,+ ili wampe sehemu ya matunda ya shamba la mizabibu.+ Hata hivyo, wakulima hao wakamfukuza akiwa mikono mitupu,+ baada ya kumpiga sana.

  • Matendo 22:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Nami nikasema, ‘Bwana, wao wenyewe wanajua vema kwamba nilikuwa nikiwatia gerezani+ na kuwapiga viboko katika sinagogi moja baada ya lingine wale wenye kukuamini;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki