9 “Kwa habari yenu, jihadharini; watu watawapeleka mahakamani,+ nanyi mtapigwa katika masinagogi+ na kusimamishwa mbele ya magavana na wafalme kwa ajili yangu, kuwa ushahidi kwao.+
10 Lakini majira yake yalipofika akatuma mtumwa+ kwa wakulima,+ ili wampe sehemu ya matunda ya shamba la mizabibu.+ Hata hivyo, wakulima hao wakamfukuza akiwa mikono mitupu,+ baada ya kumpiga sana.
19 Nami nikasema, ‘Bwana, wao wenyewe wanajua vema kwamba nilikuwa nikiwatia gerezani+ na kuwapiga viboko katika sinagogi moja baada ya lingine wale wenye kukuamini;+