26 Naye akatenda kwa njia yenye kuchukiza sana kwa kufuata sanamu za mavi,+ kama yale yote ambayo Waamori walikuwa wametenda, ambao Yehova aliwafukuza kutoka mbele ya wana wa Israeli.’”+
11 “Kwa sababu Manase+ mfalme wa Yuda amefanya machukizo+ haya, ametenda kwa uovu zaidi kuliko yote waliyotenda Waamori+ waliomtangulia, naye akasababisha Yuda watende dhambi+ kwa sanamu zake za mavi.
45 Wewe ni binti ya mama yako,+ anayemchukia mume+ wake na wanawe. Na wewe ni dada ya dada zako, waliowachukia waume zao na wana wao. Mama yenu ninyi wanawake alikuwa Mhiti,+ na baba yenu alikuwa Mwamori.’ ”+