4 Ole wake taifa lenye dhambi,+ watu walio na kosa zito, uzao unaotenda maovu,+ wana wenye kuharibu!+ Wamemwacha Yehova,+ wamemvunjia heshima Mtakatifu wa Israeli,+ wamegeuka kuelekea nyuma.+
5 “Kwa maana Mtengenezaji Mkuu+ wako ni mume wako,+ Yehova wa majeshi ndilo jina lake;+ na Mtakatifu wa Israeli ni Mkombozi wako.+ Yeye ataitwa Mungu wa dunia yote.+
2 Fanyeni kesi na mama yenu;+ fanyeni kesi, kwa maana yeye si mke wangu+ nami si mume wake.+ Naye anapaswa kuondolea mbali uasherati wake kutoka mbele yake na matendo yake ya uzinzi kutoka katikati ya maziwa yake,+