2 Wafalme 21:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Naye alimteketeza* motoni mwana wake mwenyewe; alifanya uchawi, alitafuta ishara za ubashiri,+ na kuwaweka rasmi watu wanaowasiliana na roho na wabashiri.+ Alitenda kwa kiwango kikubwa sana mambo maovu machoni pa Yehova, na kumkasirisha.
6 Naye alimteketeza* motoni mwana wake mwenyewe; alifanya uchawi, alitafuta ishara za ubashiri,+ na kuwaweka rasmi watu wanaowasiliana na roho na wabashiri.+ Alitenda kwa kiwango kikubwa sana mambo maovu machoni pa Yehova, na kumkasirisha.