22 Naye akafanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova,+ kama alivyofanya Manase baba yake;+ na Amoni akatoa dhabihu+ kwa sanamu zote za kuchongwa+ ambazo Manase+ baba yake alikuwa ametengeneza, naye akaendelea kuzitumikia.+
51 “Ninyi watu wenye shingo ngumu na wasiotahiriwa katika mioyo+ na masikio, sikuzote mnaipinga roho takatifu; kama mababu zenu walivyofanya, ndivyo ninyi mnavyofanya.+