19 kwa ajili ya dhambi zake alizotenda kwa kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova+ kwa kutembea katika njia ya Yeroboamu na katika dhambi yake aliyotenda kwa kusababisha Israeli watende dhambi.+
4 Naye akaendelea kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova, kama nyumba ya Ahabu, kwa maana wao walikuwa washauri+ wake baada ya kifo cha baba yake, kwa uharibifu wake.