1 Wafalme 16:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Alifanya hivyo kwa sababu ya dhambi zake mwenyewe alizofanya alipotenda maovu machoni pa Yehova kwa kutembea katika njia ya Yeroboamu na kwa sababu ya dhambi aliyosababisha Waisraeli wafanye.+
19 Alifanya hivyo kwa sababu ya dhambi zake mwenyewe alizofanya alipotenda maovu machoni pa Yehova kwa kutembea katika njia ya Yeroboamu na kwa sababu ya dhambi aliyosababisha Waisraeli wafanye.+