1 Wafalme 16:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 kwa ajili ya dhambi zake alizotenda kwa kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova+ kwa kutembea katika njia ya Yeroboamu na katika dhambi yake aliyotenda kwa kusababisha Israeli watende dhambi.+
19 kwa ajili ya dhambi zake alizotenda kwa kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova+ kwa kutembea katika njia ya Yeroboamu na katika dhambi yake aliyotenda kwa kusababisha Israeli watende dhambi.+