2 Wafalme 21:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Mwishowe Manase akalala pamoja na mababu zake,+ akazikwa katika bustani ya nyumba yake, katika bustani ya Uza;+ na Amoni mwana wake akaanza kutawala mahali pake.
18 Mwishowe Manase akalala pamoja na mababu zake,+ akazikwa katika bustani ya nyumba yake, katika bustani ya Uza;+ na Amoni mwana wake akaanza kutawala mahali pake.