1 Mambo ya Nyakati 3:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ahazi+ mwana wake, Hezekia+ mwana wake, Manase+ mwana wake, 2 Mambo ya Nyakati 33:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Manase+ alikuwa na umri wa miaka 12 alipoanza kutawala, naye akatawala miaka 55 katika Yerusalemu.+ Mhubiri 10:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Ewe nchi, itakuwaje kwako wakati mfalme wako ni mvulana+ na wakuu wako huendelea kula hata asubuhi? Mathayo 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Hezekia akamzaa Manase;+Manase+ akamzaa Amoni;+Amoni+ akamzaa Yosia;
33 Manase+ alikuwa na umri wa miaka 12 alipoanza kutawala, naye akatawala miaka 55 katika Yerusalemu.+
16 Ewe nchi, itakuwaje kwako wakati mfalme wako ni mvulana+ na wakuu wako huendelea kula hata asubuhi?