Nahumu 3:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ole wake jiji la umwagaji wa damu.+ Limejaa udanganyifu na unyang’anyi. Mawindo hayaondoki! Habakuki 2:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “ ‘Ole wake anayejenga jiji kwa umwagaji wa damu, anayesimamisha imara mji kwa ukosefu wa uadilifu!+ Mathayo 23:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 “Yerusalemu, Yerusalemu, muuaji wa manabii+ na ambaye huwapiga kwa mawe+ wale waliotumwa kwake,+—ni mara ngapi nilitaka kuwakusanya watoto wako, kama vile kuku anavyokusanya vifaranga vyake chini ya mabawa yake!+ Lakini hamkutaka.+
12 “ ‘Ole wake anayejenga jiji kwa umwagaji wa damu, anayesimamisha imara mji kwa ukosefu wa uadilifu!+
37 “Yerusalemu, Yerusalemu, muuaji wa manabii+ na ambaye huwapiga kwa mawe+ wale waliotumwa kwake,+—ni mara ngapi nilitaka kuwakusanya watoto wako, kama vile kuku anavyokusanya vifaranga vyake chini ya mabawa yake!+ Lakini hamkutaka.+