Zaburi 140:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Waliojiinua wenyewe wameficha mtego kwa ajili yangu;+Nao wamezitandika kamba kama wavu kando ya njia.+Wametega minaso kwa ajili yangu.+ Sela. Zaburi 141:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Uniweke mbali na mikono ya mtego ambao wamenitegea+Na mbali na minaso ya wale wanaofanya mambo yenye kuumiza.+ Zaburi 142:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Roho+ yangu ilipozimia ndani yangu.Ndipo wewe mwenyewe ulipoijua barabara yangu.+Katika njia ambayo mimi hutembea+Wametega mtego kwa ajili yangu.+
5 Waliojiinua wenyewe wameficha mtego kwa ajili yangu;+Nao wamezitandika kamba kama wavu kando ya njia.+Wametega minaso kwa ajili yangu.+ Sela.
9 Uniweke mbali na mikono ya mtego ambao wamenitegea+Na mbali na minaso ya wale wanaofanya mambo yenye kuumiza.+
3 Roho+ yangu ilipozimia ndani yangu.Ndipo wewe mwenyewe ulipoijua barabara yangu.+Katika njia ambayo mimi hutembea+Wametega mtego kwa ajili yangu.+