Zaburi 140:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Waliojiinua wenyewe wameficha mtego kwa ajili yangu;+Nao wamezitandika kamba kama wavu kando ya njia.+Wametega minaso kwa ajili yangu.+ Sela. Yeremia 18:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kilio na kisikiwe kutoka katika nyumba zao, utakapoleta juu yao kwa ghafula kikundi cha waporaji.+ Kwa maana wamechimba shimo ili kunikamata, nao wameficha mitego kwa ajili ya miguu yangu.+ Mathayo 22:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ndipo Mafarisayo wakaondoka, wakaenda na kushauriana pamoja kusudi wamtege kwa maneno yake.+
5 Waliojiinua wenyewe wameficha mtego kwa ajili yangu;+Nao wamezitandika kamba kama wavu kando ya njia.+Wametega minaso kwa ajili yangu.+ Sela.
22 Kilio na kisikiwe kutoka katika nyumba zao, utakapoleta juu yao kwa ghafula kikundi cha waporaji.+ Kwa maana wamechimba shimo ili kunikamata, nao wameficha mitego kwa ajili ya miguu yangu.+