Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 38:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Lakini wale wanaoitafuta nafsi yangu wanatega mitego,+

      Na wale wanaotaka kuniletea msiba wamesema mabaya,+

      Nao kwa sauti ya chini wanaendelea kusema udanganyifu mchana kutwa.+

  • Zaburi 64:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Wanashikilia maneno mabaya;+

      Wanasema juu ya kuficha mitego.+

      Wamesema: “Ni nani anayewaona?”+

  • Zaburi 140:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Waliojiinua wenyewe wameficha mtego kwa ajili yangu;+

      Nao wamezitandika kamba kama wavu kando ya njia.+

      Wametega minaso kwa ajili yangu.+ Sela.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki