Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 140:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Waliojiinua wenyewe wameficha mtego kwa ajili yangu;+

      Nao wamezitandika kamba kama wavu kando ya njia.+

      Wametega minaso kwa ajili yangu.+ Sela.

  • Zaburi 142:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Roho+ yangu ilipozimia ndani yangu.

      Ndipo wewe mwenyewe ulipoijua barabara yangu.+

      Katika njia ambayo mimi hutembea+

      Wametega mtego kwa ajili yangu.+

  • Yeremia 18:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kilio na kisikiwe kutoka katika nyumba zao, utakapoleta juu yao kwa ghafula kikundi cha waporaji.+ Kwa maana wamechimba shimo ili kunikamata, nao wameficha mitego kwa ajili ya miguu yangu.+

  • Luka 11:54
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 54 wakimtega,+ ili wapate+ kitu fulani kutoka kinywani mwake.

  • Luka 20:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Na, baada ya kumtazama sana, wakatuma watu waliokodiwa kwa siri wasingizie kwamba walikuwa waadilifu, ili wapate kumnasa+ katika maneno, ili wamkabidhi kwa serikali na kwa mamlaka ya gavana.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki