Ayubu 23:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana yeye anajua vema ile njia ninayoenda.+Baada ya yeye kunijaribu, nitatoka nikiwa kama dhahabu.+ Zaburi 1:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana Yehova anaijua njia ya waadilifu,+Bali njia ya waovu itaangamia.+ Zaburi 119:105 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 105 Neno lako ni taa ya mguu wangu,+Na nuru kwa barabara yangu.+
10 Kwa maana yeye anajua vema ile njia ninayoenda.+Baada ya yeye kunijaribu, nitatoka nikiwa kama dhahabu.+