1 Samweli 18:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Basi Sauli akawa akimtilia Daudi shaka tangu siku hiyo na kuendelea.+ Methali 27:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kuna ukatili wa ghadhabu, pia furiko la hasira,+ lakini ni nani anayeweza kusimama mbele ya wivu?+ Yakobo 1:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 kwa maana ghadhabu ya mwanadamu haitokezi uadilifu wa Mungu.+