Kutoka 14:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Mimi nami, tazama, nitaiacha mioyo ya Wamisri iwe mikaidi,+ ili waingie kuwafuatilia wao nami nijipatie utukufu kupitia kwa Farao na majeshi yake yote, magari yake ya vita na askari wake wapanda-farasi.+ Zaburi 37:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Waovu wamechomoa upanga na kuupinda upinde wao,+Ili kumwangusha mwenye kuteseka na maskini,+Ili kuwachinja walio wanyoofu katika njia yao.+
17 Mimi nami, tazama, nitaiacha mioyo ya Wamisri iwe mikaidi,+ ili waingie kuwafuatilia wao nami nijipatie utukufu kupitia kwa Farao na majeshi yake yote, magari yake ya vita na askari wake wapanda-farasi.+
14 Waovu wamechomoa upanga na kuupinda upinde wao,+Ili kumwangusha mwenye kuteseka na maskini,+Ili kuwachinja walio wanyoofu katika njia yao.+