Mwanzo 11:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ndipo wakasema: “Haya! Na tujijengee jiji na pia mnara na kilele chake kiwe mbinguni,+ na tujifanyie jina maarufu,+ tusije tukatawanyika juu ya uso wote wa dunia.”+ Zaburi 7:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Taabu yake itarudi juu ya kichwa chake mwenyewe,+Na jeuri yake mwenyewe itashuka juu ya utosi wa kichwa chake.+ Zaburi 21:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana wamekuelekezea mabaya;+Wametunga mawazo wasiyoweza kutimiza.+ Zaburi 37:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kaa kimya mbele za Yehova+Na kumngojea kwa kutamani.+Usijionyeshe umewaka hasira kwa sababu ya mtu yeyote anayeifanikisha njia yake,+Kwa sababu ya mtu anayetimiza mawazo yake.+ Methali 5:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Makosa yake mwenyewe yatamkamata mwovu,+ naye atashikwa katika kamba za dhambi yake mwenyewe.+ Methali 26:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Anayechimba shimo ataanguka ndani yake,+ naye anayeviringisha jiwe—litarudi kwake.+ Ufunuo 17:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Hawa wana wazo moja, na kwa hiyo wanampa yule mnyama-mwitu nguvu na mamlaka yao.+
4 Ndipo wakasema: “Haya! Na tujijengee jiji na pia mnara na kilele chake kiwe mbinguni,+ na tujifanyie jina maarufu,+ tusije tukatawanyika juu ya uso wote wa dunia.”+
16 Taabu yake itarudi juu ya kichwa chake mwenyewe,+Na jeuri yake mwenyewe itashuka juu ya utosi wa kichwa chake.+
7 Kaa kimya mbele za Yehova+Na kumngojea kwa kutamani.+Usijionyeshe umewaka hasira kwa sababu ya mtu yeyote anayeifanikisha njia yake,+Kwa sababu ya mtu anayetimiza mawazo yake.+